by Rev. Dr. Allen Adam Mbiso
Nguvu ya Sikukuu ya Mavuno katika Maisha ya Mkristo ni mwongozo wa kibiblia unaofunua maana ya sadaka ya mavuno na nafasi yake katika kujenga uhusiano wa karibu na Mungu. Kitabu kinaeleza namna ya kutoa kwa hiari, kwa furaha na kulingana na baraka ulizopokea; pamoja na faida za utii, shukrani na kumweka Mungu katikati ya shughuli zako za kiuchumi. Msomaji atajifunza tofauti kati ya faida na baraka, namna ya kumtegemea Mungu katika kazi, biashara na kilimo, na kufurahia kwa amani kile alichopewa. Hii ni eBook muhimu kwa Mkristo anayetaka ibada yake ya mavuno iwe yenye ufahamu, imani na matokeo ya kudumu. Wasiliana na Mwandishi kupitia: